#SheriaYaLeo (199/366); Watengenezee Majaribu.

By | May 18, 2022
#SheriaYaLeo (199/366); Watengenezee Majaribu. Watu huwa hawataki majaribu, japo majaribu huwa ni sehemu ya maisha ya kila siku. Watu wanachotaka ni kuyakubali majaribu, kwa sababu kuyakataa kunaleta msongo mkubwa kwao. Ili kuwa na ushawishi kwa watu, watengenezee majaribu ambayo ni makubwa na hawawezi kuyahimili. Majaribu hayo yanapaswa kuwalenga wao moja

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz