2700; Kama wengine wanafanya, usifanye.

By | May 23, 2022
2700; Kama wengine wanafanya, usifanye. Huwezi kupata mafanikio makubwa kama utaendelea kufanya vitu kwa namna ambavyo wengine pia wanavifanya. Ni lazima ufanye vitu tofauti au kwa utofauti na wengine wanavyofanya. Hiyo ni lazima kama unataka kupata mafanikio makubwa. Kamwe usifanye kitu ambacho wengine pia wanakifanya au kwa namna wanavyokifanya. Mara

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz