#SheriaYaLeo (204/366); Tengeneza kidonda.

By | May 23, 2022
#SheriaYaLeo (204/366); Tengeneza kidonda. Watu huwa hawashawishiki kama hawajioni wakiwa na uhitaji. Hivyo unachopaswa kufanya ili kuwa na ushawishi kwa watu ni kuwafanya waone wana uhitaji. Unafanya hilo kwa kutengeneza kidonda ndani yao. Kwa kujua madhaifu yao au kile wanachokosa na kuweka mkazo zaidi kwenye hilo. Kwa kuwaonyesha wanaweza kuwa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz