#SheriaYaLeo (219/366); Waweke kwenye hali ya kudhani.

By | June 7, 2022
#SheriaYaLeo (219/366); Waweke kwenye hali ya kudhani. Ili kuwafanya wengine wakufuatilie na hivyo kuweza kuwashawishi, unapaswa kuwaweka kwenye hali ya kudhani. Usiwape uhakika kwa kujua kila kitu kuhusu wewe.Kwani watu wakishakijua kitu na kuwa na uhakika nacho huwa wanakizoea, wanakichoka na kuacha kukifuatilia. Watu huwa wanachoshwa haraka sana na kitu

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz