#SheriaYaLeo (221/366); Epuka Mabishano.

By | June 9, 2022
#SheriaYaLeo (221/366); Epuka Mabishano. Mabishano huwa hayana manufaa yoyote. Hiyo ni kwa sababu kila mtu huwa anaamini maoni yake ni sahihi zaidi. Hivyo unavyobisha na kupinga maoni ya mtu, humshawishi, bali unamfanya azidi kuamini maoni yake. Kadiri unavyombishia mtu ndivyo anavyoacha kukusikiliza na kusimamia upande wake. Kama unataka kuwashawishi watu

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz