2720; Unataka au hutaki?

By | June 12, 2022
2720; Unataka au hutaki? Hadithi tulizokuwa tunajifunza utotoni zilikuwa na mafunzo makubwa sana, japo siyo mara zote tuliweza kuyang’amua. Chukua mfano wa hadithi ya sungura na ndizi. Sungura anapita zake, anaziona ndizi, anaona ni nzuri na kujiambia anazitaka. Anaanza kurukia ndizi zile. Anaruka na kuruka tena, Lakini hazifikii ndizi. Anaruka

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz