2722; Wanadanganya, lakini tunawakubali.

By | June 14, 2022
2722; Wanadanganya, lakini tunawakubali. Umewahi kuangalia maigizo au tamthilia mbalimbali. Na katika hizo, kuna ambazo zilinasa hisia zako, ukajikuta ukifurahi na kucheka au kuhuzunika na kulia. Ulijua kabisa kila kilichokuwa kinaonyeshwa kwenye maigizo au tamthilia siyo ukweli. Kama ni mtu amekufa kwenye igizo au tamthilia unajua kabisa kwamba hajafa kweli.

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz