#SheriaYaLeo (227/366); Waachie watu hisia.

By | June 15, 2022
#SheriaYaLeo (227/366); Waachie watu hisia. Watu wengi huwa wanakazana kutumia maneno kuwashawishi watu. Iwe ni kupitia mazungumzo au maandiko. Wanasema mengi wakiamini baadhi yatakuwa na ushawishi kwa watu hao. Lakini maneno matupu huwa hayana ushawishi mkubwa. Badala yake yanawaacha watu wakiwa na wasiwasi. Kwa sababu watu wanaweza kuondoka na maana

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz