#SheriaYaLeo (235/366); Wape ambacho hawajakizoea.

By | June 23, 2022
#SheriaYaLeo (235/366); Wape ambacho hawajakizoea. Ni asili yetu binadamu kupenda kile ambacho hatuna. Huwa tunaona maisha ya wengine ni bora kuliko yetu pale wanapokuwa na vitu ambavyo sisi hatuna. Huwa tunaona kazi au biashara za wengine ni nzuri kuliko zetu. Tunaona maisha yao ni mazuri kuliko yetu. Mara zote tunatamani

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz