2730; Sumu inayoua taratibu.

By | June 22, 2022
2730; Sumu inayoua taratibu. Nikikuambia sasa hivi unywe sumu ambayo itakatisha maisha yako mara moja utanishangaa sana. Utaniambia huwezi kufanya hivyo, kwa sababu bado unataka kuishi. Lakini tukikuchunguza kwa kina, kwa namna unavyofanya mambo yako, tunaweza kuona huna tofauti sana na anayetumia sumu. Tofauti pekee ni sumu unayotumia wewe inaua

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz