#SheriaYaLeo (236/366); Jua na tumia udhaifu wa watu.

By | June 24, 2022
#SheriaYaLeo (236/366); Jua na tumia udhaifu wa watu. Sisi binadamu huwa tuna upinzani. Huwa hatupendi kupangiwa nini tufanye na nini tusifanye. Tunapenda kuona tukifanya maamuzi yetu wenyewe. Huwa tunapinga na kukataa mabadiliko yoyote tunayopendekezewa na wengine. Katika kuwashawishi watu, kukabiliana nao kwenye upinzani wao huwa siyo njia sahihi. Utatumia nguvu

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz