2732; Kukosa kwako umakini kunakuumiza.

By | June 24, 2022
2732; Kukosa kwako umakini kunakuumiza. Kiwango chako cha kukosa umakini, kinaiumiza sana biashara yako. Huo ni ujumbe nilioutuma kwa mmoja wetu baada ya kuona kuna mambo ya msingi kabisa yanamsumbua. Nilipozungumza naye, nikagundua tatizo ni kubwa kuliko nilivyokuwa nadhani awali. Na maumivu kwenye biashara yanayosababishwa na kukosekana kwa umakini yalikuwa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz