2734; Kama ungekuwa huogopi chochote.

By | June 26, 2022
2734; Kama ungekuwa huogopi chochote. Sehemu kubwa ya kikwazo cha watu kufanikiwa inatokana na woga ambao watu wanao. Watu wanaogopa sana kushindwa, wanaogopa kukataliwa na wanaogopa wengine watawachukuliaje. Kinachotokea ni watu kufanya mambo ambayo ni ya kawaida na yanayoficha woga wao. Na hilo linapelekea washindwe kupata mafanikio makubwa. Ili uweze

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz