#SheriaYaLeo (239/366); Tumia ndoto kubwa ambazo hawajazifikia.

By | June 27, 2022
#SheriaYaLeo (239/366); Tumia ndoto kubwa ambazo hawajazifikia. Watu wengi huwa wanaamini wana uwezo mkubwa ndani yao kuliko ule unaoonekana kwa nje. Kila mtu ana ndoto kubwa sana ambazo bado hajazifikia. Inaweza kuwa ni mafanikio makubwa wanayotaka kufikia na ngazi za juu zaidi wanazotaka kupanda. Bado wanakuwa hawajafika kule wanakotaka kufika

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz