2738; Siyo lazima ufanye.

By | June 30, 2022
2738; Siyo lazima ufanye. Sehemu kubwa ya msongo tunaokuwa nao kwenye maisha huwa ni wa kujitakia. Tunakuwa na msongo pale tunapoona kwamba ni lazima tufanye vitu fulani ambavyo tumejiambia tunapaswa kufanya. Ukweli ni kwamba hulazimiki kufanya kitu chochote kile. Mahangaiko unayokuwa nayo kwenye kujilazimisha kufanya vitu, ni kujipa tu umaarufu

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz