#SheriaYaLeo (250/366); Usimshambulie adui kwenye uimara wake.

By | July 8, 2022
#SheriaYaLeo (250/366); Usimshambulie adui kwenye uimara wake. Kile ambacho adui anakionyesha wazi wazi ndiyo uimara wake. Ukimshambulia kwenye hicho huwezi kumshinda, bali utamfanya azidi kuwa imara. Njia pekee ya kumshinda adui yeyote yule ni kumshambulia kwenye madhaifu yake. Kila mtu ana madhaifu, ambayo huwa anajaribu kuyaficha. Hivyo chochote anachokionyesha mtu

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz