#SheriaYaLeo (252/366); Tumia vizuri machafuko.

By | July 10, 2022
#SheriaYaLeo (252/366); Tumia vizuri machafuko. Fikiria akili yako kama jeshi. Jeshi linapaswa kuweza kuendana na ugumu na machafuko yanayoendelea kwa kutumia njia isiyotabirika. Kama ilivyo kwenye vita vya msitumi, adui hatumii mkakati wote mazoea, badala yake kila wakati anakuwa kwenye mwendo. Hali hiyo inafanya kuwa vigumu sana kumshambulia adui huyo.

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz