2752; Niseme vibaya kwenye mengine yote, lakini siyo kwenye hiki kimoja.

By | July 14, 2022
2752; Niseme vibaya kwenye mengine yote, lakini siyo kwenye hiki kimoja. Kama binadamu, najua sijakamilika. Nina maeneo ambayo nina uimara mkubwa. Na maeneo ambayo nina udhaifu mkubwa. Najua kuna watu wananisema vibaya kwenye mambo mbalimbali, mengine ya kweli na mengine siyo ya kweli. Wapo wanaoweza kuwa wanasema sijali, nina roho

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz