#SheriaYaLeo (256/366); Muda ndiyo kitu pekee ulichonacho.

By | July 14, 2022
#SheriaYaLeo (256/366); Muda ndiyo kitu pekee ulichonacho. Muda ni rasilimali muhimu sana uliyonayo kwenye maisha yako. Kuweza kutumia muda wako vizuri kunakufanya uweze kufanya makubwa zaidi. Ili kuweza kunufaika vizuri na muda, lazima uuchukulie kwa tofauti na ambavyo umekuwa unauchukulia. Kiuhalisia, tangu siku uliyozaliwa, muda ndiyo kitu pekee ulichonacho. Ndiyo

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz