#SheriaYaLeo (261/366); Linganisha matokeo na njia.

By | July 19, 2022
#SheriaYaLeo (261/366); Linganisha matokeo na njia. Majenerali wote bora huwa wanaanza kwa kuangalia njia walizonazo kisha kutengeneza mkakati wa kuweza kuzitumia vyema ili kupata matokeo wanayoyataka. Wanaanza kwa kufikiria uhalisia ulivyo, kwa upande wao na wa maadui pamoja na mambo mengine yote yanauohusika kwenye mapambano. Kufanya hivyo kunawapa msingi sahihi

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz