2757; Kuwepo na kutumika.

By | July 19, 2022
2757; Kuwepo na kutumika. Kinachowatofautisha wanaofanikiwa na wanaoshindwa siyo kuwepo au kutokuwepo kwa vitu fulani, bali kutumika au kutokutumika kwa vitu hivyo. Kwa mfano wale waliofanikiwa huwa wanatumia uwezo mkubwa ulio ndani yao. Hiyo haimaanishi kwamba wanaoshindwa hawana uwezo mkubwa ndani yao. Wanao sana, ila kinachowakwamisha ni kutokuutumia. Na mara

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz