#SheriaYaLeo (262/366); Mkakati wa hatua ndogo ndogo.

By | July 20, 2022
#SheriaYaLeo (262/366); Mkakati wa hatua ndogo ndogo. Tatizo kubwa ambalo watu wengi tunakabiliana nalo ni huwa tunakuwa na ndoto na matamanio makubwa. Ndoto hizo kubwa zinateka hisia zetu kiasi cha kujikuta tunashindwa kuangalia hatua ndogo tunazopaswa kuchukua ili kufikia ndoto hizo kubwa. Huwa tunapenda kufikiria hatua kubwa za kufikia ndoto

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz