#SheriaYaLeo (276/366); Hakuna chenye nguvu kuzidi asili ya mwanadamu.

By | August 3, 2022
#SheriaYaLeo (276/366); Hakuna chenye nguvu kuzidi asili ya mwanadamu. Watu wengi hudhani ujuzi wa asili ya binadamu umepitwa na wakati. Huona kwa maendeleo ya teknolojia tuliyonayo, tunepiga hatua kuondoka kwenye asili yetu binadamu na kuwa bora zaidi. Lakini hilo siyo kweli. Pamoja na mabadiliko makubwa ambayo yameendelea kwenye kila eneo

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz