2775; Ushauri ni ule ule.

By | August 6, 2022
2775; Ushauri ni ule ule. Kwenye kitabu cha The Richest Man In Babilon, watu wawili ambao licha ya kuweka juhudi kubwa kwenye kazi bado wapo kwenye umasikini mkubwa, waliamua kwenda kuomba ushauri kwa rafiki yao wa utotoni ambaye alikuwa na utajiri mkubwa. Baada ya kuwasikiliza, mtu huyo tajiri aliwashirikisha hadithi

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz