#SheriaYaLeo (279/366); Usiruhusu mafanikio yawe sumu kwako.

By | August 6, 2022
#SheriaYaLeo (279/366); Usiruhusu mafanikio yawe sumu kwako. Sisi binadamu huwa tuna udhaifu ambao upo ndani ya kila mmoja wetu. Udhaifu huo huwa unapelekea tujione na kujichukulia kwa namna ambayo siyo sahihi. Udhaifu huo unatokana na asili yetu ya kupenda kujisifia na kukuza chochote tulichonacho. Huwa tunaona tuna uwezo mkubwa kuliko

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz