#SheriaYaLeo (282/366); Wazimu wa kundi.

By | August 9, 2022
#SheriaYaLeo (282/366); Wazimu wa kundi. Wewe peke yako, ukiwa na wazo au mpango ambao ni wa kijinga, watu watakutahadharisha mara moja na kukurudisha kwenye uhalisia. Lakini hilo linapokuwa kwenye kundi, kinyume chake hutokea. Hata kama wazo au mpango ni wa kijinga kiasi gani, kama umekubalika na kundi, kila mtu anakubaliana

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz