#SheriaYaLeo (290/366); Pima watu kama wana wivu.

By | August 17, 2022
#SheriaYaLeo (290/366); Pima watu kama wana wivu. Wivu ni moja ya hisia ambazo binadamu huwa tunakuwa nazo. Ni hisia inayochochewa na hali ya mtu kujilinganisha na wengine na kutokupenda pale wengine wanapokuwa wamemzidi. Wivu huweza kumsukuma mtu kufanya mabaya na kuwadhuru wengine kwa kutokupendezwa na namna walivyowazidi. Katika mahusiano na

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz