#SheriaYaLeo (295/366); Tambua msukumo wako wa shari.

By | August 22, 2022
#SheriaYaLeo (295/366); Tambua msukumo wako wa shari. Sisi binadamu tuna asili ya ushari. Na hilo siyo jambo baya mara zote. Maana ni ushari huo ndiyo unaotupa msukumo wa kufanya makubwa na kufanikiwa. Lakini pale ushari huo unaposhindwa kudhibitiwa vizuri, unakuwa chanzo cha machafuko makubwa. Wizi, utapeli, uhasama na vita yote

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz