#SheriaYaLeo (298/366); Jua hujui.

By | August 25, 2022
#SheriaYaLeo (298/366); Jua hujui. Huwa tunapenda kuwabeza watu wa zama zilizopita jinsi ambavyo hawakuwa wanajua yale ambayo tunajua sasa. Tunaona kama walikuwa watu wajinga na walioshindwa kujua yale ya msingi. Hebu fikiria ni kwa namna gani watu wa vizazi vijavyo watatushangaa na kutubeza kwa mambo tunayofanya sasa. Kuna mengi tunajua,

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz