#SheriaYaLeo (301/366); Ona kivuli chako.

By | August 28, 2022
#SheriaYaLeo (301/366); Ona kivuli chako. Kila mtu huwa ana pande mbili. Upande mzuri ambao ndiyo anauonyesha kwa wengine. Na upande mbaya ambao anauficha. Wengi wakiwa hadharani hufanya mambo mazuri na ya kupendeza. Lakini wakiwa faraghani hufanya mambo mabaya na yasiyo ya kupendeza. Na mara nyingi, wale wanaojionyesha ni wema sana

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz