#SheriaYaLeo (308/366); Ongeza muda wa kujibu.

By | September 4, 2022
#SheriaYaLeo (308/366); Ongeza muda wa kujibu. Hii ni nguvu inayojengwa kwa mazoezi na marudio. Pale jambo kinapokutaka ujibu, jifunze kusubiri kwanza kabla ya kukimbilia kujibu. Unaweza kufanya hivyo kwa kuondoka eneo la tukio na kwenda eneo jingine ambapo utakuwa peke yako. Au unaweza kuandika majibu yako lakini usiyatume. Unajipa muda

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz