#SheriaYaLeo (316/366); Panda mlima.

By | September 12, 2022
#SheriaYaLeo (316/366); Panda mlima. Kwa sisi binadamu, kukaa kwenye wakati uliopo ni kama kuishi sehemu ya chini ya mlima. Kile kinachoonekana kwa macho ndiyo kinaathiri maamuzi yetu. Kupita kwa muda ni sawa na kupanda mlima. Muda unapopita, tunakuwa hatuna tena hisia ambazo zilituathiri kwenye wakati husika. Tunaweza kujitenga na tukio

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz