#SheriaYaLeo (318/366); Usivurugwe na wapumbavu.

By | September 14, 2022
#SheriaYaLeo (318/366); Usivurugwe na wapumbavu. Huwezi kuwa kila mahali na huwezi kupambana na kila mtu. Muda wako na nguvu zako ni rasilimali zenye uhaba, unapaswa kujifunza jinsi ya kutunza rasilimali hizo. Kuchoka na kuvurugwa ni matokeo ya upotevu wa rasilimali hizo na inavuruga sana uwepo wa kiakili. Dunia imejaa wapumbavu

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz