2817; Uwajibikaji na Mchakato.

By | September 17, 2022
2817; Uwajibikaji na Mchakato. Unataka kufanikiwa? 1. Jua unachotaka. 2. Panga jinsi ya kukipata. 3. Chukua hatua. 4. Kaa kwenye mchakato. 5. Wajibika. Unaanza kwa kujua nini unachotaka kwa uhakika kabisa. Mafanikio kwako yana maana gani? Hili lazima lianzie ndani yako, kwa kujisikiliza wewe mwenyewe. Unaweza kushangaa, lakini ukweli ni

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz