2820; Muda na fedha.

By | September 20, 2022
2820; Muda na fedha. Kiashiria kizuri cha mtazamo wa kimafanikio wa mtu ni matumizi ya muda na fedha. Wale wenye mtazamo wa kimasikini na wa kushindwa huwa wanatumia muda kuokoa fedha. Hawa huona ni bora wapoteze muda kuliko fedha. Dalili utakayoiona wazi ni jinsi watu hao wapo tayari kutumia muda

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz