#SheriaYaLeo (330/366); Geuza upendo binafsi kuwa huruma.

By | September 26, 2022
#SheriaYaLeo (330/366); Geuza upendo binafsi kuwa huruma. Huwa tunadhani tunawaelewa vizuri watu tunaojihusisha nao. Maisha yanaweza kuwa magumu na tuna majukumu mengi ya kukamilisha. Pia tu wavivu na tunapendelea kuwahukumu watu kwa mazoea. Lakini hayo yote siyo sahihi. Mafanikio yetu kwenye maisha yanategemea sana uwezo wetu wa kuwasoma na kuwaelewa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz