#SheriaYaLeo (333/366); Jifunze kwenye zama zilizopita.

By | September 29, 2022
#SheriaYaLeo (333/366); Jifunze kwenye zama zilizopita. Vile tunavyoishi sasa ni matokeo ya mambo yaliyotokea kipindi cha nyuma. Mabadiliko yote ambayo binadamu tumeyapitia tangu enzi na enzi, ndiyo yamezalisha yote tuliyonayo sasa. Huwa tuna tabia ya kubeza zama zilizopita, kwa kuona zimepitwa na wakati. Kufanya hivyo kunatuzuia tusijifunze. Lakini pia ni

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz