2839; Kukosa cha kufanya.

By | October 9, 2022
2839; Kukosa cha kufanya. Watu huwa wanapoteza muda kwa sababu wanakuwa hawana kitu kingine cha kufanya. Wengine wanatengeneza hata matatizo kwa sababu tu hawana cha kufanya. Kikubwa ambacho naendelea kujifunza kwenye maisha yetu wanadamu ni kwamba muda hauwezi kukaa mtupu, lazima kuna kitu kitajipenyeza tu. Hivyo basi, kama kweli unataka

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz