#SheriaYaLeo (344/366); Vuka ubinadamu na fikia uwezo usio na ukomo.

By | October 10, 2022
#SheriaYaLeo (344/366); Vuka ubinadamu na fikia uwezo usio na ukomo. Mara nyingi tunaishi kwenye hali ya ubinadamu ambayo huwa ina ukomo mkubwa. Tunakuwa tumezama kwenye mazoea yetu ya kila siku, ambayo yanatuzuia kufikia uwezo usio na ukomo wa ulimwengu. Wapo wanaojaribu kuondoka kwenye hali hiyo, lakini bado hawafanikiwi kwa sababu

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz