2852; Kuwa mtumwa wa tabia nzuri.

By | October 22, 2022
2852; Kuwa mtumwa wa tabia nzuri. Tulipokuwa watoto, tulikuwa watumwa wa hisia. Tuliendeshwa na hisia na kila mara kufanya yale tuliyojisikia kufanya. Tumekuwa watu wazima na sasa tumekuwa watumwa wa tabia. Tumejenga tabia na sasa tabia zinatujenga. Mambo mengi tunayofanya tunayafanya kwa tabia, kwa jinsi ambavyo tumezoea kufanya. Ubaya wa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz