#SheriaYaLeo (360/366); Hili nalo litapita.

By | October 26, 2022
#SheriaYaLeo (360/366); Hili nalo litapita. Sisi binadamu huwa tunapenda sana uhakika wa mambo. Hilo ndiyo limekuwa linasababisha tukae kwenye mazoea. Huwa tunataka mambo na hali ziendelee kuwa vile ambavyo zimekuwa. Ndiyo maana mara nyingi huwa tunasema afadhali ya jana. Ukweli ni kwamba, kila kitu kinabadilika. Hakuna kitu chochote ambacho hakibadiliki

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz