#SheriaYaLeo (361/366); Tumia vizuri ubongo wa dunia.

By | October 27, 2022
#SheriaYaLeo (361/366); Tumia vizuri ubongo wa dunia. Ubongo ni kiungo chenye nguvu kubwa kwenye miili yetu. Kina nguvu ya kutuwezesha kupata chochote tunachotaka. Kile ambacho tunakifikiri kwa muda mrefu ndiyo kinakuwa uhalisia wetu, kwa sababu ubongo unatuletea taarifa za aina hiyo zaidi. Pamoja na nguvu hiyo kubwa ya ubongo, bado

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz