#SheriaYaLeo (364/366); Tafakari maajabu ya dunia.

By | October 30, 2022
#SheriaYaLeo (364/366); Tafakari maajabu ya dunia. Kila unachokiona kwenye maisha yako hapa duniani ni maajabu. Ukianza na mwili wako mwenyewe, una maajabu mengi ambayo huwezi kuyaelezea. Hujui chanzo cha hisia zako, huwezi kuona ubongo wako wala jinsi chakula kinavyomeng’enywa tumboni kwako. Lakini hayo yote yanaendelea kwenye mwili wako na unayaona

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz