#SheriaYaLeo (365/366); Kubali udogo wako.

By | October 31, 2022
#SheriaYaLeo (365/366); Kubali udogo wako. Tulipokuwa watoto tulijua udogo wetu na kukubali kuna mengi ambayo yapo nje ya uwezo wetu. Sasa tumekuwa watu wazima na kusahau udogo huo, kwa kudhani kila kitu kinapaswa kuwa ndani ya uwezo wetu. Lakini ukiuangalia ukubwa wa ulimwengu, sisi bado ni wadogo sana. Ukiangalia umri

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz