2864; Kama kweli unajua.

By | November 3, 2022
2864; Kama kweli unajua. Kwako rafiki yangu unayedhani tayari unajua kila kitu na huhitaji tena kujifunza. Ni kweli unaweza kuwa unajua mengi unayosema unayajua. Lakini je, matokeo unayozalisha yanaendana na hicho unachosema unajua? Maana kama unasema unajua, lakini matokeo unayozalisha ni tofauti na unachosema unajua, kuna tatizo mahali. Huenda hujui

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz