2873; Matendo yaendane na maneno.

By | November 12, 2022
2873; Matendo yaendane na maneno. Kwako rafiki yangu unayesema unayataka mafanikio makubwa, lakini matendo yako hayaashirii hivyo. Kusema ni rahisi sana, kila mtu anaweza kufanya. Kupanga ni rahisi, wengi wamekuwa na mipango mizuri. Ila sasa kuchukua hatua ili kuyapata matokeo ndiyo kugumu na wachache wana ndiyo wamekuwa wanaweza. Moja ya

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz