2872; Tuongelee hili swala la uvivu.

By | November 11, 2022
2872; Tuongelee hili swala la uvivu. Kwako rafiki yangu unayedhani unaweka juhudi kubwa kwenye kazi, lakini hakuna matokeo mazuri unayoyapata. Watu wengi wamekuwa wakichanganya kushughulika na kuzalisha. Huwa wanadhani kwa kushughulika ndiyo wanajituma hasa. Lakini unapoyaangalia matokeo wanayozalisha, unaona kabisa kwamba hayaendani na kile wanachodai. Mtu anakuwa yupo bize kweli

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz