2893; Vinavyofundishika na visivyofundishika.

By | December 2, 2022
2893; Vinavyofundishika na visivyofundishika. Kwako rafiki yangu mpendwa ambaye unajaribu kuwafundisha wafanyakazi wako lakini hawafundishiki. Kuna vitu huwa vinafundishika kwa watu kirahisi na kuna vitu ambavyo havifundishiki kirahisi. Jinsi ya kuifanya kazi ni kitu ambacho kila mtu anaweza kufundishwa. Na kama ataweka umakini kwenye hilo, ataweza kuelewa na kufanya vizuri.

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz