2895; Hakuna asiyefukuzika.

By | December 4, 2022
2895; Hakuna asiyefukuzika. Kwako rafiki yangu mpendwa ambaye umeshaliona tatizo kwenye biashara yako, lakini unashindwa kulitatua kwa sababu unaona kuna watu hawagusiki. Unaona ukiwagusa wale ambayo ndiyo chanzo cha matatizo ambayo biashara inayapitia, basi biashara itatikisika sana. Hilo linakufanya uendelee kukumbatia uvivu na uzembe unaokusumbua sana. Nina mambo machache ya

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz