2897; Sababu hazitauza.

By | December 6, 2022
2897; Sababu hazitauza. Kwako rafiki yangu mpendwa unayeshangaa kwa nini unashindwa kuuza licha ya juhudi kubwa unazoweka. Kinachokuzuia kuuza ni sababu nyingi unazokuwa nazo juu ya yale unayofanya au kushindwa kufanya. Unashindwa kukaa kwenye mchakato na kutekeleza viwango ulivyojiwekea. Badala ya kukubali uvivu na uzembe uliopelekea hayo, wewe unajipa sababu

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz